![]() |
Ni namba nyingine mpya mwanamuziki wa kike Cindy akiimba kama sehemu ya utambulisho, katika ukumbi wa Villa Park 'Sebuleni' wakati wa show ya utambulisho iliyofanyika juzi ijumaa. |
![]() |
Mpiga solo mpya wa Super kamanyola Frank Joshua. |
![]() |
Mfaume ni mpiga rydhim... |
![]() |
Bass guitar linakamatwa na Camorde. |
![]() |
Rapa mpya aliyeingia jiunga na Bendi ya Super Kamanyola 'Difender' ni matata huyo, machachari haswaaa awapo jukwaani ni moto wa kuotea mbali...!! |
![]() |
Zile chips hukaangwa na Totoo. |
![]() |
'Kolabo' la hatari toka kwa Rashidi Mwenzingo (kushoto) na mwanadada Cindy (kulia). |
![]() |
Brothers. |
![]() |
Kikosi kamili cha bendi ya Orch Super Kamanyola. kikiwa na madansaZ wake. |
![]() |
Kushoto ni densa aitwaye Patricia Nzomba akiwa na Mwalimu wa bendi Beno Villa Anthony. |
![]() |
Tukutane Villa Park ule raha kila Jumatano, Alhamisi, Ijumaa, Jumamosi na Jumapili.. |
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.