ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, August 17, 2014

SUMATRA MKO WAPI?ABIRIA HAWA WAMETESEKA ZAIDI YA MASAA 6 BILA MSAADA

 Abiria wakwama njiani zaidi ya masaa 6  abiria ambao walikuwa wanaelekea mwanza na gari la princes shabaha  wamezidi teseka  huku  hawajui hatima yao ya safari
 Gari hilo lenyenamba za usajili T102 AVX  Wamekwama maeneo ya kibamba jiji dar es salamu  huku kina mama na watoto wakizidi teseka



 Mama Huyu Akiteseka na mtoto mdogo
 Abiria wakiwa nje ya basi



 Baadhi ya abiria wakijadiliana nini cha kufanya ili wapate usafiri mwingine
 Hizi ndio namba za basi hilo







Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.