![]() |
| Stage lilivamiwa na wasanii wote ili kuimba kwa pamoja. |
![]() |
| The place uwanja wa Taifa Kahama ilishona watu wa Kahama na wageni. |
![]() |
| Moja kati ya supa nyota wa mwaka jana akifanya yake Fiestani |
![]() |
| Ney wa Mitego na Stamina kwa stage. |
![]() |
| Walitengeneza bonge la ligi. |
![]() |
| Wacha watu walipuke kwa shangwe. |
![]() |
| We bwana mdogo unanauli ya kurudi Moro? |
![]() |
| Mo Music. |
![]() |
| The light toka kwa simu. |
![]() |
| Makamuzi ya Recho yalikuwa hatari. |
![]() |
| Steps. |
![]() |
| Wow... |
![]() |
| Tofauti na ilivyodhaniwa Jux yu mmoja kati ya wasanii walioimbisha songi zake kwa raia mwanzo mwisho. |
![]() |
| Madee. |
![]() |
| Bonge la kolabo la Madee na Mnyamwezi wake. |
![]() |
| Mkali wa Olethemba Linah kwa back stage. |
![]() |
| Full utata!! |
![]() |
| The best male vocalist Barnaba. |
![]() |
| Mr.Blue. |
![]() |
| Selfieza hatari zilifanywa wakatiwa kuimba songi moja wasanii wote. |
![]() |
| Mc wa tukio kutoka XXL ya Clouds Fm B12 (L) na Dj Fetty (R) |
Tupe maoni yako





















0 comments:
Post a Comment