ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, July 31, 2014

WAREMBO REDS MISS MWANZA 2014 WAANZA KAMBI RASMI.

Doris Robert.
Aisha Ally.
Lisa Abdalah.
Zaki Lema.
Christina Jilulu.
Tekla Samuel.
Amina Bega.
Doris Robert.
Mmoja kati ya waandaaji  maarufu Kanda ya Ziwa Mr. John Dotto (wa pili kulia walioketi mbele) akizungumza na baadhi ya washiriki wa kinyag'anyiro cha Redds Miss Mwanza 2014 katika ukumbi wa VIP Villa Park Mwanza, ambapo kambi imeanza rasmi jana. Mchakato wa kumpata mrembo kwa shindano hilo utafanyika usiku wa sikukuu ya Nanenane tarehe 8/08/2014 katika ukumbi wa Jb Belmont Hotel Mwanza.
Sehemu ya warembo hao.
Kutoka kulia hadi kushoto.
Ni warembo nane kati ya kumi na mbili watakaoshiriki kinyang'anyiro cha Redds Miss Mwanza 2014 shindano hilo utafanyika usiku wa sikukuu ya Nanenane tarehe 8/08/2014 katika ukumbi wa Jb Belmont Hotel Mwanza.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.