ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, July 27, 2014

RAIS KIKWETE, WAZIRI MKUU PINDA NA JAJI MKUU WAALIKWA FUTARI KWA MAKAMU WA RAIS.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri Mkuu Mizengo Pinda na Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe Mohamed Chande Othman, wakiongozana na mwenyeji wao Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilali, wakati wakiwasili nyumbani kwa Makamu kwa ajili ya kushiriki katika halfa ya futari waliyoandaliwa na Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali katika makazi yake Oysterbay jijini Dar es salaam juzi Ijumaa jioni Julai 25, 2014. Picha na OMR
Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri Mkuu Mizengo Pinda na Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe Mohamed Chande Othman, wakiongozana na mwenyeji wao Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilali, wakati wakiwasili nyumbani kwa Makamu kwa ajili ya kushiriki katika halfa ya futari waliyoandaliwa na Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali katika makazi yake Oysterbay jijini Dar es salaam juzi Ijumaa jioni Julai 25, 2014. Picha na OMR

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.