Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri Mkuu Mizengo Pinda na Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe Mohamed Chande Othman, wakiongozana na mwenyeji wao Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilali, wakati wakiwasili nyumbani kwa Makamu kwa ajili ya kushiriki katika halfa ya futari waliyoandaliwa na Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali katika makazi yake Oysterbay jijini Dar es salaam juzi Ijumaa jioni Julai 25, 2014. Picha na OMR
Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri Mkuu Mizengo Pinda na Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe Mohamed Chande Othman, wakiongozana na mwenyeji wao Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilali, wakati wakiwasili nyumbani kwa Makamu kwa ajili ya kushiriki katika halfa ya futari waliyoandaliwa na Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali katika makazi yake Oysterbay jijini Dar es salaam juzi Ijumaa jioni Julai 25, 2014. Picha na OMR
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
0 comments:
Post a Comment