ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, June 1, 2014

SAFARI NA NDOVU.

Meneja wa Bia ya Ndovu Special Malt, Pamela Kikuli akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kuwaaga watanzania kupitia vyombo vya habari akielekea nchini Ufaransa kuchukua tuzo ya kimataifa ya bia hiyo iliyoipata hivi karibuni. Mazungumzo hayo yalifanyika katika Uwanja wa Julius Nyerere Airport Dar es Salaam jana.
Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kuwaaga watanzania kupitia vyombo vya habari akielekea nchini Ufaransa kuchukua tuzo ya kimataifa ya bia hiyo iliyoipata hivi karibuni. Mazungumzo hayo yalifanyika katika Uwanja wa Julius Nyerere Airport Dar es Salaam jana. Wengine katika picha ni warembo wa bia hiyo
Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo (kulia) na Meneja wa Bia ya Ndovu Special Malt, Pamela Kikuli wakielekea kupanda ndege katika Uwanja wa Julius Nyerere Airport Dar es Salaam jana kwenda nchini Ufaransa kuchukua tuzo za kimataifa ya bia ya Safari  Lager na Ndovu  Special Malt walizo tunukiwa hivi karibuni.
Mpishi wa Kampuni ya Bia ya Tanzania, Cevin Nkya (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kusafiri kuelekea nchini Ufaransa kuchukua tuzo za Safari Lager na Ndovu Special Malt walizo tunukiwa hivi karibuni. Mazungumzo hayo yalifanyika katika Uwanja wa Julius Nyerere Airport Dar es Salaam jana.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.