| Viongozi wa Wafanyakazi wakiimba Wimbo wa Mshikamano wakati wa Semina hiyo. |
| Katibu wa TUCTA Taifa Nicolaus Mugaya akifungua Semina kwa Viongozi hao wa Wafanyakazi. |
| Hapa Nicolaus Mugaya akiwa katika picha ya Pamoja na Viongozi hao. |
| Nicolaus Mugaya Katibu Mkuu wa TUCTA Nchini akifafanua jambo kwa Waandishi wa habari. |
| Bibi Sarah Kibonde Mkuu wa Mawasiliano wa SSRA, akiwa anawasilisha mada katika Semina hiyo. |
| Semina inaendelea hapa na Washiriki wakiwa wametulia tuliii. |
| Darasa limekolea na sasa Ishara zinabidi zitumike zaidi. |
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment