ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, May 9, 2014

HABARI KATIKA PICHA, SSRA WAENDELEA NA SEMINA MWANZA, SAFARI HII ILIKUWA NI VIONGOZI WA WAFANYAKAZI KUPATA KOZI.

Kutoka kushoto ni Mkuu wa Mawasilano wa SSRA), Sarah Kibonde Msika, katibu wa TUCTA Taifa,  Nicolaus Mgaya Mwenyekiti wa TUCTA (M) Mwanza Yusuph Simbaulanga, na Katibu wa TUCTA Mkoa wa Mwanza,  Evarist Mwalongo, wakiimba wimbo wa Mshikamano wakati wa Semina ya Viongozi wa Vyama vya wafanyakazi iliyofanyika kwenye Ukumbi wa CWT Mkoa wa Mwanza.
Viongozi wa Wafanyakazi wakiimba Wimbo wa Mshikamano wakati wa Semina hiyo.
Katibu wa TUCTA Taifa Nicolaus Mugaya akifungua Semina kwa Viongozi hao wa Wafanyakazi.
Hapa Nicolaus Mugaya akiwa katika picha ya Pamoja na Viongozi hao.
 Nicolaus Mugaya Katibu Mkuu wa TUCTA Nchini akifafanua jambo kwa Waandishi wa habari.
Bibi Sarah Kibonde  Mkuu wa Mawasiliano wa SSRA, akiwa anawasilisha mada katika Semina hiyo.
 Semina inaendelea hapa na Washiriki wakiwa wametulia tuliii.
Darasa limekolea na sasa Ishara zinabidi zitumike zaidi.
Maswali haya kukosekana, Pichani ni Bw. Samweli Mkama aliye simama katikati aliyetaka kufahamu hatima ya wafanya kazi 260 ambao hadi sasa tatizo lao halijapatiwa ufumbuzi kutokana na kuchangia mifuko tofauti tofauti.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.