Mstahiki Meya wa Jiji la Mwanza Stanslaus Mabula akizindua mfuko wa kuweka na kukopeshana ujulikanao kama Vikoba, kushoto anaonekana Rais wa Vikoba Tanzania Bi. Devota Likokola akihamasisha kuwa mfuko huosi kwa wananchi wa mijini tu bali hata vijijini.
Mstahiki Meya Mhe. Mabula ameahidi kuwapatia wadau hao wa Vikoba kuwapatia kiwanja kwa ajili ya kujenga ofisi. PICHA NA ZEPHANIA MANDIA.
Taarifa kwa Umma Kuhusu Ongezeko la Bei za Mafuta.
-
Dar es Salaam, Tanzania
Tunatambua ongezeko kubwa la hivi karibuni la bei za mafuta ambalo
limeongezeka kwa asilimia 33. Kama jukwaa linalolenga kusawaz...
Serikali Yaongeza Muda wa Tume ya Uchunguzi
-
*Na Mwandishi Wetu*
*DODOMA, Aprili 4, 2026 — Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
imetangaza kuongeza muda wa kukamilisha kazi kwa Tume ya Kuchun...
0 comments:
Post a Comment