ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, April 12, 2014

HONGERA FAMILIA YA BW & BI DAVID SIMBA KWA MTOTO.

Familia ya Bw & Bi David Simba wa Mwanza Tanzania wakiwa na furaha kubwa wanamshukuru Mungu kwa mtoto wao kipenzi aitwaye Rainha kwa kutimiza umri wa mwezi mmoja na nusu, wakiwa na matumaini kuwa Mwenyezi Mungu ataendelea kuwalinda na kuwapigania katika malezi hatimaye kuwa na mwana bora wa familia na jamii kwa ujumla.

Wanasema aksante kwa wale wote majirani, ndugu na marafiki wa kweli wanao wakumbuka kwa sala na maombi. Wakihitimisha kwa kusema Mungu awabariki.....
Amen. 

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.