ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, March 13, 2014

CHEREKO CHEREKO LA HARUSI YA ZAKY NA MARTINA LAFANA.

Ni wakati wa kumtambua je ni yeye! Bwana harusi Zaky Maduhu akifurahia baada ya kumwona Bibi harusi Martina Makinga wakati wa ibada ya ndoa takatifu iliyofungwa tarehe 2 march 2014 katika kanisa la SDA Mwenge jijini Dar es salaam. Bwana harusi ni Producer & Visual editor wa JCB Media Group na bibi harusi ni Mtaalamu wa masuala ya graphics pamoja na masuala ya Techolojia ya mawasiliano.  
Ni wakati wa furaha nazo tabasamu hazijifichi....!!!
Kutoka bega la Bwana harusi taswira ya Bi. harusi Martina Makinga.
Shining like no body.
Off cause jibu lilikuwa 'NDIYO'
Na hapa pia 'NDIYO' Kisha shangwe zikapazwa na kusikika kiasi cha mita 700 na ushee!!
Si wawili tena bali ni Mwili mmoja.
Bwana harusi.
Bibi harusi.
Mara baada ya kukamilisha taratibu zote za ndoa kanisani ... Bonge la Part lilipigwa mida ya jioni hivi likihusisha vyakula na vinywaji vitakatifu vya kila aina.
Blogu hii (GSENGO) inawatakia kila la kheri Zaky na Martina katika maisha mapya ya ndoa, Mungu awaongoze na kufanikisha kila jema na la haki mnalolihitaji.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.