ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, January 10, 2014

BURUDANI YA SKYLIGHT BAND IJUMAA YA KWANZA KWA MWAKA 2014 NDANI YA KIOTA CHA THAI VILAGE.

DSC_0009
Digna Mbepera akiwaimbia kwa hisia mashabiki wa Skylight Band Ijumaa ya kwanza kwa mwaka 2014 ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar huku akisindikizwa na Mary Lucos pamoja na Winnie.
DSC_0045
Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK47 akifanya yake jukwaani huku akisindikizwa na Rappa Joniko Flower sambamba na Winnie.
DSC_0008
Aneth Kushaba AK47 akiimba na kucheza na mashabiki wa Skylight Band wanaokunwa na uimbaji wake.
DSC_0014
Njagalawe chimanyee baby........!!!Kutoka kushoto ni Hashim Donode, Winnie na Digna Mbepera wakitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band.
DSC_0061
Mashabiki wakiburudika na Skylight Band ndani ya kiota cha Thai Village Ijumaa ya kwanza tangu mwaka 2014 uanze.
DSC_0031
Kanyaga twende...kutoka kushoto ni Mary Lucos, Sony Masamba na Winnie wakicheza staili ya "Yachuma chuma".
DSC_0121
Ni mwendo wa mukanda ya chuma......!
DSC_0126
Hapo Je......Tiki titi titi......hii ni Gym tosha kila Ijumaa ndani ya Thai Village Masaki.
DSC_0062
Skylight Band na watu wastaarabu ndani ya kiota cha Thai Village.
DSC_0095
Hashim Donode akikamua jukwaani.
DSC_0100
Mzungu akionekana kuchizika na Skylight Band.
DSC_0130
Mary Lucos akiwapa raha za Pwani mashabiki wa Skylight Band.
DSC_0139
Wake kwa waume kwa raha zao wakizungusha mduara.
DSC_0147
Mh. Bundala kwa raha zake akijinafasi.....burudani mwanzo mwisho....
DSC_0051
Sam Mapenzi akipagawisha mashabiki wa Skylight Band....!
DSC_0170
Skelewu....Skelewu....Skeleleleeeee....!!
DSC_0172
Aneth Kushaba AK47 akicheza na mdau Anorld wa Skylight Band.
DSC_0157
Aneth Kushaba AK47 na Petit Man wakipata Ukodak.
DSC_0184
Mdau kutoka DStv na warembo wa ukweli ndani ya Thai Village.
DSC_0186
Mwanafamilia wa Skylight Band Victor Maginga akipata Ukodak na wadau.
DSC_0188
Mdau Alois Ngonyani na Swahiba wake.
DSC_0022
Mdau Cosmas Mtesigwa (kulia) na marafiki kabla ya kukwea pipa kuelekea Zambia aliamua kuja kula bata na Skylight Band.....Vitu kama hivi adimu nchi za watu...
DSC_0195
Wadau wakiendelea kupata Ukodak.
DSC_0178

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.