ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, November 8, 2013

RAIS JK AELEZEA MSIMAMO WA TANZANIA KATIKA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI

Tanzania haina mpango wa kujitoa ndani ya jumuiya ya Afrika mashariki kwa kuwa haijafanya lolote baya ndani ya nchi wanachama hivyo inasikitishwa na vitendo vya ubaguzi vinavyofanywa na baadhi ya nchi wanachama wa jumuiya hiyo. CHANZO: ITV

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.