Tupe maoni yako
Friday, November 8, 2013
RAIS JK AELEZEA MSIMAMO WA TANZANIA KATIKA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI
Tanzania haina mpango wa kujitoa ndani ya jumuiya ya Afrika mashariki kwa kuwa haijafanya lolote baya ndani ya nchi wanachama hivyo inasikitishwa na vitendo vya ubaguzi vinavyofanywa na baadhi ya nchi wanachama wa jumuiya hiyo. CHANZO: ITV
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.