ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, November 2, 2013

DODOMA NA MAPOKEZI YA TIMU YA TAIFA SAFARI POOL

Wachezaji wa Pool,wapenzi na mashabiki wa mchezo wa Pool wa Mkoa wa Dodoma wakiwapokea wachezaji wa timu ya Taifa ya Safari Pool kwa mbwembwe za aina yake na matarumbeta mara baada ya kuwasili mkoani humo wakitokea Malawi kwenye mashindano ya Pool ya Afrika ambapo walipata ubingwa wa mchezaji mmoja mmoja(Singles) na nafasi ya tatu upande timu juzi.
Wachezaji wa Pool,wapenzi na mashabiki wa mchezo wa Pool wa Mkoa wa Dodoma wakiwapokea wachezaji wa timu ya Taifa ya Safari Pool kwa mbwembwe za aina yake na matarumbeta mara baada ya kuwasili mkoani humo wakitokea Malawi kwenye mashindano ya Pool ya Afrika ambapo walipata ubingwa wa mchezaji mmoja mmoja(Singles) na nafasi ya tatu upande timu juzi.
Wachezaji wa Pool,wapenzi na mashabiki wa mchezo wa Pool wa Mkoa wa Dodoma wakiwapokea wachezaji wa timu ya Taifa ya Safari Pool kwa mbwembwe za aina yake na matarumbeta mara baada ya kuwasili mkoani humo wakitokea Malawi kwenye mashindano ya Pool ya Afrika ambapo walipata ubingwa wa mchezaji mmoja mmoja(Singles) na nafasi ya tatu upande timu juzi. 
Mchezaji wa timu ya taifa ya Safari Pool, Patrick Nyangusi akisalimia wapenzi na mashabiki wa jijini Dar es Salaam mara baada ya kuwasili kwenye Party ya kupongezwa iliyokuwa imeandaliwa katika Ukumbi wa Meeda Sinza jijini Dar es Salaam jana.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.