![]() |
| Harusi za Nigeria ni moja kati ya sherehe zinazofana sana barani Afrika kutokana na mpangilio wa muonekano sambamba na ubunifu katika mavazi. |
![]() |
| Kila mmoja hujituma katika kufanikisha sherehe ya harusi ndiyo sababu huwa bombaa.. |
![]() |
| Kila kukicha vihusishi kama keki huwa ni vya style ya aina kwa aina. |
![]() |
| Sare ni moja kati ya misingi inayozingatiwa. |
![]() |
| Ni taswira ambazo huto choka kuziangalia. |
![]() |
| Heshima katika sare na wenye sare. |
![]() |
| Rangi hupendezesha mazingira kuwa na mwonekano wa mvuto zaidi. |
![]() |
| Chekshia kuanzia style ya nguo ushonaji, maua walobeba hadi style za nywele. |
![]() |
| Hapa je.. |
![]() |
| Safi. |
![]() |
| Utaipenda. |
Tupe maoni yako
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
0 comments:
Post a Comment