ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, September 22, 2013

AKUDO IMPACT WATANGAZA UTALII NDANI YA RAFIKI CONCERT GEITA WAKISHEREHEKEA MIAKA 18 YA RFA.

Mwimbaji wa Bendi ya Akudo Impact Tarsis Masela (kulia) akimtambulisha mpiga gitaa la bass wa bendi hiyo katika Rafiki Concert iliyofanyika usiku wa kuamkia leo mjini Geita ikiwa na lengo la kutangaza Utalii wa Kanda ya ziwa na kusharehekea miaka 18 ya Radio Free Afrika . Burudani ikisimamiwa na Sahara Media Group.  Na moja kati ya wadhamini wakuu wa mpango huo ni TANAPA.

Safu ya mbele bendi ya Akudo Impact.

Tarsis Masela akiwaimbisha wakazi wa Geita ndani ya ukumbi wa Desire katika Rafiki Concert.
Bofya Play kusikiliza.
Shabiki akila ngoma pamoja na moja kati ya wanenguaji wa Bendi ya Akudo Impact.

We - Acha...acha...basi - basi.yatoshaa...

Tuliza ball...ado..aka polepole.

Weeee......

Nahii jeh..!

Wanahabari toka Sahara Media kuanzia Star Tv, RFA pamoja na Kiss Fm wakipata flash ku show lavu kwa blogu.

Peace....

Rumba ya ukweli...!!

Best Drummer....

Sauti ya Biashara na akiimbisha mashabik wa burudani mkoa wa Geita.

Palipendeza kweli....

Mikono juu.

Chama la Wanachama wa Habari na Burudani..

Them.

Back...

......We...

PNC ni moja kati ya wanamuziki wa Bongo Fleva walio panda stage.

Dj John (kulia) na Dj Chuma (kushoto) na pale kati ni Mtangazaji wa RFA Bizzo'.

Shindano la kudensi ni kati ya Baragaza (kushoto) na Zuberi Msabaha (kulia).

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.