Kwa mara ya kwanza kwa zaidi ya miaka 30, viongozi wa Marekani na Iran wamezungumza moja kwa moja.
Rais Barack Obama na mwenzake wa Iran, Hassan
Rouhani, wamezungumza kwa simu kwa muda wa robo saa; na kwa mujibu wa
Bwana Obama walieleza azma yao ya kutatua mzozo wa muda mrefu kuhusu
mradi wa nuklia wa Iran.
Ujumbe kwenye mtandao wa Twitter kutoka ofisi ya Bwana Rouhani ulionesha hisia kama hizo.
Taarifa kutoka Iran zinaonesha kuwa tukio hilo limefurahiwa nchini humo, hasa kati ya washauri wakuu wa Bwana Rouhani. CHANZO: bbc Swahili.
ULEGA AAGIZA UCHUNGUZI WATENDAJI BRT4
-
• Ataka ripoti ya wasimamizi na washauri wote
• Akerwa na uzembe wao unaosababisha misongamano
• Aeleza jinsi Rais Samia anavyoumia kwa foleni mijini
Na Mwa...
Piga Mkwanja Mrefu Ijumaa ya Leo
-
IJUMAA ya leo ni ya moto sana ndani ya Meridianbet kwani mechi za kibabe za
kukupatia mzigo wa maana zipo. Kuanzia pale EPL na kwaingineko ni moto juu ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.