Kwa mara ya kwanza kwa zaidi ya miaka 30, viongozi wa Marekani na Iran wamezungumza moja kwa moja.
Rais Barack Obama na mwenzake wa Iran, Hassan
Rouhani, wamezungumza kwa simu kwa muda wa robo saa; na kwa mujibu wa
Bwana Obama walieleza azma yao ya kutatua mzozo wa muda mrefu kuhusu
mradi wa nuklia wa Iran.
Ujumbe kwenye mtandao wa Twitter kutoka ofisi ya Bwana Rouhani ulionesha hisia kama hizo.
Taarifa kutoka Iran zinaonesha kuwa tukio hilo limefurahiwa nchini humo, hasa kati ya washauri wakuu wa Bwana Rouhani. CHANZO: bbc Swahili.
EARLY PAYOUT KUMWAGA MIHELA LEO
-
EARLY payout kwasasa ndio mchongo mpya ambao Meridianbet wamekuja nao
ambapo kupitia michezo mbalimbali ambayo itakwenda kuchezwa usiku wa leo
itakuwez...
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.