ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, August 28, 2013

JAY MOO ANG'ARISHA FAINALI ZA KUMPATA STR8MUZIK FREESTYLE NA DJ MKALI MWANZA ZILIVYOKUWA NDANI YA VILLA PARK.

Jay Moo akitoa burudani kwa mashabiki waliohdhuria shindano hilo la kumsaka mkali wa Freestyle na Dj Mkali wa Mwanza lililofanyika ndani ya Villa Park Mwanza.

Hapa ni fainali... Frank Kalebu akimchana Nchana Anthony ambapo mwisho wa siku Nchana ndiye aliyetawazwa kuwa mshindi.

Ni nusu fainali ya  Frank Kalebu  na brother mwingine.

Ni nusu fainali ya Nchana Anthony na mjunki mwingine.

Safu ya majaji na hapa Dj Jeff Jerry akitoa max zake kwa moja ya washindani anayefuata ni jaji namba mbili ambaye ni mtayarishaji wa muziki Ramal, jaji namba tatu ambaye pia ni mtayarishaji wa muziki nchini Q. The don na jaji namba nne toka Metro Fm .

Safu ya majaji na hapa Mtayarishaji wa muziki nchini Ramal akitoa max zake kwa moja ya washindani.

Meza ya majaji iliketi katikati ya ukumbi kushuhudia barabara tukio.

Shangwe za mashabiki zilikuwa zikilipuka kila mara kiasi cha kulifanya shindano hilo kuwa na msisimko wa aina yake.

"Umeona yule yule yuko tite....!!" jaji namba mbili Ramal akizungumza na Jaji mamba moja Dj Jeff Jerry.
Jaji namba moja Dj Jeff Jerry akitangaza mshindi upande wa mchuano wa Ma-dj ambapo Dj Ben (wa tatu kutoka kulia) ndiye aliyetawazwa kuwa mshindi na kuitwaa mixing mashine ya kisasa na ngao ya ushindi.

Frendz wa Dj Ben wakimbeba juu juu Dj Ben mara baada ya kutawazwa kuwa champion wa kinyang'anyiro hicho.

Cabinet ya STR8MUZIK ikimkabidhi ngao ya Uchampion Dj Ben.

Ramal akitangaza mshindi wa Freestyle 2013.

Shangwe za mashabiki na ma-style yao ya kuketi....

Cabinet ya STR8MUZIK ikimkabidhi ngao ya Uchampion wa Freestyle Nchana Anthon.

Cabinet ya STR8MUZIK ikimkabidhi zawadi ya mixing machine champion wa Madj Dj Ben.

Picha ya pamoja na washiriki wa fainali ya Madj, Dj Ben (kulia) na anayefuata ni Dj No 2 Said Abdalah.

The area at Villa Park Mwanza.

We...

Kutoka kushoto ni G. Sengo, Dj Maliz na Philbert Kabago.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.