ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, July 7, 2013

YANGA NA KCC WAVAMIA SHINYANGA TAYARI KWA MCHEZO WA LEO UWANJA WA CCM KAMBARAGE

Ni majembe ya Yanga kutoka kushoto ni Jerry Tegete, Nizar Khalfan na Didier Kavumbagu.. wanasema kuwa wamejiandaa vyema kwa mchezo wa marudiano hii leo dimba la CCM Kambarage Shinyanga.

Karibia mkoani Shinyanga kwaajili ya mchezo wa marudiano leo baina ya Yanga na KCC toka nchini Uganda

Ni katika barabara ya Airport ya mjini Shinyanga hatua chache kuingia Shy town.

Msafara wa bodaboda...

Ni wachezaji wa KCC ndani ya basi lao...wakiimba nyimbo za kuchagiza ushindi kwa mchezo wa leo.

Gari la wazi lililobeba kombe la Ubingwa la Dar es salaam Young African na shamrashamra zake. 

KCC wakiingia hoteli waliyofikia.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.