![]() |
| Ni majembe ya Yanga kutoka kushoto ni Jerry Tegete, Nizar Khalfan na Didier Kavumbagu.. wanasema kuwa wamejiandaa vyema kwa mchezo wa marudiano hii leo dimba la CCM Kambarage Shinyanga. |
![]() |
| Karibia mkoani Shinyanga kwaajili ya mchezo wa marudiano leo baina ya Yanga na KCC toka nchini Uganda |
![]() |
| Ni katika barabara ya Airport ya mjini Shinyanga hatua chache kuingia Shy town. |
![]() |
| Msafara wa bodaboda... |
![]() |
| Ni wachezaji wa KCC ndani ya basi lao...wakiimba nyimbo za kuchagiza ushindi kwa mchezo wa leo. |
![]() |
| Gari la wazi lililobeba kombe la Ubingwa la Dar es salaam Young African na shamrashamra zake. |
![]() |
| KCC wakiingia hoteli waliyofikia. |
Tupe maoni yako







0 comments:
Post a Comment