ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, June 15, 2013

SERENGETI BREWERIES YAWAPONGEZA WASHINDI WA FAINALI ZA GUINNESS FOOTBALL CHALLENGE

 Wakuu usiku huu, Serengeti Breweries Ltd imefanya hafla ya kuwapongeza washiriki wa Guinness Football Challenge, pamoja na kuwapongeza washindi wawili waliofika hadi fainali za mashindano hayo ya kukuza vipaji vya mpira. 

Zifuatazo ni picha mbalimbali kuonesha hafla hiyo iliyofanyika jijini Dar es Salaam katika Hotel JB Belmont na kuhudhuriwa Viongozi waandamizi wa SBL, akiwemo Mkurugenzi wa Masoko wa SBL, Epraimu Mafuru na wageni mbalimbali waalikwa pamoja na wanahabari. 
Mmoja wa washindi pekee waliofika fainali Guinness Football Challenge kutoka Tanzania akionesha manjonjo



Mkurugenzi wa Masoko wa SBL, Epraimu Mafuru akiwa na washindi pekee waliofika hadi fainali kutoka Tanzania



Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.