ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, May 30, 2013

ERICK SHIGONGO AUNGANA NA WADAU WENGINE KUSHIRIKI UZINDUZI WA FLORA SHOW MWANZA

Mjasiliamali ambaye pia ni mkurugenzi wa Global publishers Bw. Erick Shigongo akizungumza na wadau mbalimbali waliohudhuria uzinduzi wa kipindi kipya cha televisheni kiitwacho Flora Show ambacho kitaanza kuruka hivi karibuni Star Tv. 

Meneja wa TBL Mwanza Mr. Mbwambo (katikati) akiwa na meneja wa matukio wa kampuni hiyo tawi la Mwanza Mr. Erick (kulia) wakiwakilisha jambo ndani ya uzinduzi huo.

Sasa ni zamu ya Airtel Mwanza.......

Mwanamama huyu kutoka Shinyanga amevunja rekodi kwa kuwa moja kati ya watu waliotunza kucha zao kwa miaka muda mrefu bila kuzikata. Guinness Book mko wapi?

 Si za bandia bali zimefugwa, na ni takribani miaka mitatu sasa hazijakatwa.

Kwa karibu zaidi...

Wadau mbalimbali katika meza zao wakifurahia jambo.


Flora akimtambulisha Jontwa moja kati ya wabunifu ambao wataonekana ndani ya moja ya vipindi vya Flora Show vitakavyoruka Star Tv.

Engo na flash kwa blog.
Ni kwa takribani miongo mingi sasa masuala ya urembo, mitindo na ubunifu yamekuwa yakienda sambamba mkono kwa mkono na televisheni.

Iwe ni zama za vipindi vya televisheni za Black and White au sasa zama za kidigitali.

Imekuwa ni ada mara kwa mara, baada ya misoto ya shughuli mbalimbali za mwanadamu, mwisho wa siku mamilioni kati yao huketi chini na kujiburudisha na vipindi vya mitindo na ubunifu vilivyoandaliwa kutoa elimu ya masuala ya urembo na utanashati.

Face book

StorizZ.

Paul Mabuga akitoa uzoefu wake katika masuala ya digitali na utoaji taarifa.

Kipindi cha Flora Show kimekuja katika zama hizi ili kwenda sambamba na mahitaji ya watu kwa kukidhi mahitaji ya Televisheni  ambazo kiukweli zimekuwa kichocheo namba moja katika kusaidia ukuaji wa sekta za mitindo na ubunifu.

'Sasa pale fanya hivi..." ni kama sehemu ya mazungumzo 

Flora wa Flora Show (kushoto) akiwa na Mkurugenzi wa Global Publishers Erick Shigongo (katikati) pamoja na Mr. David (kulia) ambaye ni mme wa Flora. 
Africa beauty centre in year 2010 and 2013 in East and Central Africa realize most of woman and ladies in East Africa concentrate  on External look (beauty) leaving the internal and other beauties a side.

Flora Show will criticall feature External Beauty, Internal beauty latest trends in fashion, art, fine dining and home decoration.

The show will also focus on swahili beauty rituals in which only natural and indigenous herbal flowers and spices are used.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.