ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, May 11, 2013

BATA MBELE YA BATA NA BATA NYUMA YA BATA

Ni katika stage la Villa Park Mc Zembwela akitambulisha msafara wa shughuli nzima ya Redds Miss Nyamagana itakayofanyika leo Jumamosi (11 May 2013) ndani ya ukumbi wa JB Belmonte jijini Mwanza.

Moja kati ya warembo 18 wa Miss Nyamagana akijitambulisha kwenye stage ya Villa Park jijini Mwanza.

The parade ya warembo hao.

Lilipigwa sebene nao hawakujivunga kulainisha nyonga.

Another location.

Mwanadada Recho tayari kesha tua jijini Mwanza kusababisha na kung'arisha kona ya burudani hii leo kwenye kinyang'anyiro cha Redds Miss Nyamagana 2013 ndani ya Hotel JB Belmont Mwanza.

Kisha msafara wa warembo ulielekea Club Fusion iliyopo katikati ya jiji la Mwanza.

Party Pipoooooooo wakishow love na kamera ya G. Sengo Blog.

Bata mbele ya bata.....!!!!

Dj Victor wa Club Fusion.

Naye Dj wa Clouds Tv in the house....Siwamjua?
Oiiii...Mzukaa.

This is how we do.

Zembwela na engo ya kutambulisha warembo ambao leo ndiyo leo mmoja wao ataibuliwa na kuvikwa taji la Miss Nyamagana 2013.

Ulingoni ndani ya club Fusion Recho akipenyeza upepo wake kwa shabiki wake.

Azontoooo!!!

Ni mwendo kusomeka tu!!
Brothers.

"Uskose leo (jumamosi) Miss Nyamagana ukumbi wa JB Belmont"  Hapa ni Mwandaaji wa Redds Miss Nyamagana 2013 kupitia Stoppers Entertainment Muhksin Mambo (kushoto) akiwa na meneja wa Villa Park Mwanza Meneja Ramma (kulia)

Tupe maoni yako

1 comments:

Note: Only a member of this blog may post a comment.