ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, April 14, 2013

BREAKING NEWS: RCO GEITA AFARIKI KWA AJALI YA GARI


Taarifa zilizotufikia zimesema kuwa Afisa Upelelezi wa Polisi Mkoa wa Geita (RCO) SSP-Magnus Mng'ong'o anadaiwa kupata ajali na kufariki dunia.

Vyanzo vyetu vya habari kutoka ndani ya jeshi la polisi vimedokeza kuwa afisa huyo gari alilokuwa akisafiria limegongana na Roli la kubeba Samaki majira ya saa 4 usiku wa kuamkia leo eneo la Chibingo katika barabara ya Geita Bukoba wakati akitoka eneo la Katoro kikazi.

Tutaendelea kuwajuza zaidi kadri taarifa zitakavyo patikana.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.