ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, December 1, 2012

TANZANIA BARA YATINGA HATUA YA ROBO FAINALI KWA KISHINDO



CECAFA LIVE;
SOMALIA vs TANZANIA BARA. 
Wakati timu hizo zinaingia mapumziko, Kilimanjaro Stars 5, Somalia 0. 
Ngasa akitupia 3 na John Boco zake 2.

Vijana wamecheza soka zuri la kuonana wakitawala mchezo kwa asilimia kubwa hata kuwatishia wahabeshi hao.

Picha lilionekana wazi kwamba kipindi cha pili magoli yataongezeka...
Yap yap, yooo... kipindi cha pili kikatinga timu zikazama dimbani, hadi dakika ya 58 magoli yale yale.

Mabadiliko ya; Boco nje, Edward Christropher ndani na Damayo nje, Chuji ndani yanafanyika ile hali Somalia walishamaliza sub toka kipindi cha kwanza. 

Dakika 90 za mchezo zinamalizika Somalia inalala 7-0 dhidi ya Tanzania bara, Khalfan Ngasa akiondoka na magoli matano.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.