ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, December 15, 2012

MH MEMBE AITAKIA KILA LA KHERI NA FANAKA CLOUDS MEDIA GROUP KWENYE SHAMRA SHAMRA ZAKE ZA KUTIMIZA MIAKAiza 13

Waziri wa Mambo ya Nje na Uhusiano ya Kimataifa,Mh Bernard Membe pichani kulia akiagana na Ofisa Habari wa Clouds Media Group,Simalenga Saimon mapema leo mchana,kwenye viunga vya ofisi hizo zilizopo Mikocheni jijini Dar,Mh Membe alifika kwenye ofisi hizo kwa ajili ya kufanya mahojiano mafupi kuhusiana na mambo mbalimbali yanayoihusu wizara yake sambamba na kuitakia kheri na fanaka kampuni ya Clouds Media Group wakati ikiwa kwenye msimu wa sherehe na shamra shamra zake za kutimiza miaka 13 tangu kuanzishwa kwake.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.