Jukwaani mwenye kipaza kulia ni Msanii Sanura akiwapagawisha mashabiki na mambo ya Windhoek |
Mambo ya promo katika uwanja wa Jamhuri Dodoma kwenye uzinduzi wa Magic Fm na dtv. |
Wanaonekana Vimwana wa Kinywaji Safi Cha Windhoek wakiwa tayari kuwahudumia Wateja katka uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma katika uzinduzi wa Magic Fm na DTV mchana wa leo 3/11/2012. |
kikundi cha burudani kikiendelea kuwapagawisha mashabiki walijitokeza hii jana katika uwanja wa Jamhuri Dodoma kwenye uzinduzi wa Magic Fm na dtv. |
kikundi cha burudani kikiendelea kuwapagawisha mashabiki walijitokeza hii jana katika uwanja wa Jamhuri Dodoma kwenye uzinduzi wa Magic Fm na dtv. |
Baadhi ya Watangazaji wa DTV na MAGIC wakifurahi na Windhoek Beer hii leo katika uwanja wa Jamhuri Dodoma. |
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.