| Askari
wa usalama barabarani Meja Anthony Mjema akibandika sticker ya
usalama barabarani katika gari ya mmoja wa wafanyakazi wa Airtel bwana
Abadallah Gunda mara baada ya kukalikagua , hii ni moja kati ya
mwendelezo juhudu za Airtel kwa kutekeleza usalama barabarani kwa
vitendo na kuwezesha magari ya wafanyakazi wake kukaguliwa. Zoezi hilo
limefanyika katika makao makuu ya Airtel Morocco, nyuma ni baadhi ya
wafanyakazi wa Airtel wakisubiri kukaguliwa |
0 comments:
Post a Comment