ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, September 7, 2012

MAREHEMU ELISHA PAUL AZIKWA KIJIJINI KWAO

Mchungaji wa kanisa la Anglican akiongoza ibada ya mazishi ya marehemu Elisha Paul aliyefariki tarehe 4/09/2012 katika hospitali ya wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza.

Watu wa karibu na marehemu Elisha Kulwa ambaye ni mmoja kati ya vijana wanaharakati walifurika na kuhudhuria mazishi hayo yaliyofanyika kijiji cha Misasi wilayani Misungwi mkoani Mwanza.




Dada wa marehemu akitoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa kaka yake.


Wingu zito la majonzi lilitanda kwa ndugu jamaa na marafiki waliofika kwenye safari ya mwisho ya marehemu Elisha Kulwa.

Hali ilikuwa tete kwa ndugu zake wa karibu.
Safari kuelekea makaburini...

Mwili katika ibada kuilaki nyumba yake ya milele.


Picha ya pamoja kwa familia makaburini.

Sister Rodha Ndamanyhilu katikati akiwa na ndugu wakaribu wa marehemu Elisha Kulwa.

Na gari letu la homu.."Furahini katika bwana tena nasema furahini" 

Mr & Mrs Isaac Ndamanyhilu wakiwa na watoto wao kwenye shamba la familia ambako ndiko alizikwa marehemu mpendwa wao Elisha Paul ambaye ni mdogo wake bw. Isaac. 
Mie na katotoo na kwa chati ni my sis Rodha.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.