ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, August 25, 2012

FROM MOSHI KITU LIVE KWA CLOUDS TV USIKU HUU

Kama unafuatilia kupitia luninga yako bila shaka unainjoi vilivyo...... usiku huuu.......

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Mh Leonidas Gama akimtaja mshindi aliyejinyakulia gari aina ya Vits iliyokuwa ikinadiwa kwenye tamasha la Serengeti Fiesta 2012,maara baada ya kuchezeshwa droo usiku huu,pichani mwanzo kulia ni Mkurugenzi wa Masoko kampuni ya bia ya Serengeti,Ephraim Mafuru,Muwakilishi kutoka michezo ya bahati nasibu ya Taifa,Abdallah Mohamed akishuhudia tukio hilo,na mwisho kushoto ni Mkurugenzi wa kampuni ya Clouds Media Group,Joseph Kusaga pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Moshi Mjini,Mh Dr Msengi wakishuhudia tukio hilo usiku huu ndani ya uwanja wa chuo cha ushirika.

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Mh Leonidas Gama sambamba na Mkuu wa Wilaya ya Moshi Mjini,Mh Dr Msengia wakiingia kwa shangwe kwenye jukwaa la Serengeti Fiesta 2012 usiku huu kwa ajili ya kulizindua tamasha hilo ambalo limepokelewa vyema kwa wakazi wa mji huo na vitongoji vyake.Pichani kulia ni Dj Zero akikamua vilivyo.

Dj Pq kutoka Clouds FM akikamua vilivyo kwenye mashine,kati ni mtangazaji wa Clouds FM B Dozen na mdau mwingine wakifuatilia kwa makini makamuzi yanayoendelea usiku huu,ambapo washabiki kibao wamejitokeza ndani ya uwanja wa chuo cha ushirika.

Sanaa ya home na asili.

Pichani shoto ni msanii kutoka THT,Recho sambamba na wacheza shoo wake wakitumbuiza jukwaani usiku huu ndani ya tamasha la Serengeti Fiesta 2012.

Moja ya kikundi mahiri  kutoka THT kkikionesha mbwembwe zake jukwaani.

THT na mbwembwe zaidi.

Dj Zero akikamua vilivyo.

Moja ya kikundi cha  THT kikiwa katika picha ya pamoja.

Baadhi ya wakazi wa mji wa Moshi na vitongoji vyake waliojitokeza kwenye tamasha la Serengeti Fiesta usiku huu ndani ya Uwanja wa chuo cha Ushirika mjini Moshi.

Recho's dance.

Ze colour.

Baadhi ya wasanii nyota wa filamu nchini nao wakishuhudia tamasha la Serengeti Fiesta usiku huu.

Hapatoshi usiku huu.
Moshiiiii hapatoshiiiii.
Msanii wa kizazi kipya Sheta akiwaimbisha washabiki wake waliojitokeza kwa wingi usiku huu ndani ya tamasha la Serengeti.

Ze pipoz usiku huu ndani ya tamasha la Serengeti.

Back side...

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.