ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, April 11, 2012

WAKAZI WA PWANI YA DAR ES SALAAM WAONYWA JUU YA KUTOKEA TSUNAMI BAADA YA INDONESIA KUKUMBWA NA BALAA

Wakazi wa mkoa wa Dar es salaam nchini Tanzania kupitia Mamlaka ya hali ya hewa wamepewa taarifa ya tahadhari kukaa mbali na maeneo ya mwambao wa bahari kupitia tishio la Tsunami kulikumba eneo la pwani ya bahari ya Hindi.

Wavuvi na abiria wasafiriao mitumbwi na boti wametahadharishwa kuondoka kabisa maeneo ya pwani ili kuepuka balaa lolote linaloweza kujitokeza kwani 'heri ya kinga kuliko tiba'

Katika hatua nyingine safari zote katika bahari ya Hindi kutoka au kuelekea visiwani Zanzibar zimesitishwa kwa muda hadi kesho saa mbili asubuhi kwaajili ya sababu za kiusalama huku wananchi wakipewa taarifa ya kutopata hofu juu ya hatma yao.

Hofu nchini Indonesia
Mapema leo yametokea matetemeko makubwa mawili ya kipimo cha Ritchter 8.3 na 8.6 huko Aceh Indonesia ambapo tahadhari ya kutokea kwa Tsunami imeshatolewa na wakazi katika mwambao wa Bahari ya Hindi hasa majira ya saa 1 usiku hadi saa 3 usiku wa leo wametakiwa kuchukua tahadhari.

Experts said a tsunami wave had been produced, but there were no reports of damage and it remained unclear how big the wave would be.

Area prone to volcanic and seismic activity
Indonesia straddles a series of fault lines that makes the vast island nation prone to volcanic and seismic activity.According to the USGS, the 2004 quake struck about 155 south-southeast of Banda Aceh at a depth of 18.6 miles. Some 227,898 people were killed or missing presumed dead and about 1.7 million were forced out of their homes after the tsunami affected 14 countries in Asia and East Africa.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.