Nibarua ya shukurani kwa wana Mwanzakwanza wote na wadau wote wanaojibidiisha kufanikisha maendeleo ya jiji la Mwanza, iliyopokelewa na Mwenyekiti wa Mwanzakwanza Philbert Kabago toka kwa mama mzazi wa msanii wa kizazi kipya Mwanza marehemu Mo Chella, aliyeuawa kwa kuchomwa kisu ubavuni katika tukio la kuamua ugomvi wa jirani yake mnamo mwezi januari 2012.
Taarifa kwa Umma Kuhusu Ongezeko la Bei za Mafuta.
-
Dar es Salaam, Tanzania
Tunatambua ongezeko kubwa la hivi karibuni la bei za mafuta ambalo
limeongezeka kwa asilimia 33. Kama jukwaa linalolenga kusawaz...
Serikali Yaongeza Muda wa Tume ya Uchunguzi
-
*Na Mwandishi Wetu*
*DODOMA, Aprili 4, 2026 — Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
imetangaza kuongeza muda wa kukamilisha kazi kwa Tume ya Kuchun...
0 comments:
Post a Comment