ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, March 13, 2012

PANGA LAISHUKIA KLABU YA YANGA

Wachezaji wa Yanga na sheshe la refa.

Kamati ya mashindano ya TFF imewafungia wachezaji watano wa Yanga kutokana na vurugu zilizotokea hapo siku ya jumamosi kwenye mchezo wa ligi kuu ya Vodacom dhidi ya Azam Fc,

Wachezaji waliofungiwa ni Stephano Mwasika aliyefungiwa mwaka mmoja huku Nadir Haroub na Jerry Tegete wakifungiwa jumla ya michezo sita, Nurdin Bakari na Omega Seme wamefungiwa kila mmoja michezo mitatu.

Huku Yanga ikipigwa faini ya shilingi milioni 4.5.


Hisani ya http://www.shaffihdauda.com/

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.