ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, March 31, 2012

KAMPENI ZA KIRUMBA ZAMALIZIKA LEO CHADEMA WACHOMA BENDERA NA KADI ZA CCM

Mh. Sitta na mgombea udiwani kata ya Kirumba Jackson Robert 'Masamaki'

Sehemu ya wananchi wa Kirumba.

"Mate ya mzee hayaanguki chini ovyo" Waziri wa ushirikiano nchi za afrika mashariki Samwel Sitta.

"Kupitia uchaguzi wa Kirumba imedhihirika kwa umma kwamba Chama cha mapinduzi kinaumoja" Waziri wa Nishati na Madini, Mbunge wa Sengerema Wiliam Ngeleja.

Diwani wa kata ya mkolani Mabula akizungumza na wananchi katika kampeni za mwisho leo kumnadi swahiba wake Jackson 'Masamaki'.

Kaborow naye alikuwepo.

Manjonjo..

Madiwani walioingia kwenye kinyang'anyiro na hatimaye Jackson kuwashinda wakimnadi mwenzao.

Sehemu ya Wananchi waliojitokeza.

Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zito Kabwe akimwaga sera za CHADEMA kumnadi mgombea wa udiwani kata ya Kirumba.

Harakati zikiendelea jukwaa kuu.

Manjonjo.

Wananchi waliojitokeza kwenye mkutano wa mwisho kumnadi mgombea udiwani kata ya Kirumba kwa Tiketi ya CHADEMA Bahati Kahungu.

Kampeni za Chadema kumnadi mgombea wake Kahungu zilimalizika kwa kuchoma bendera na kadi za CCM kitendo kilichofanyika jukwaani wazi wazi.

Kampeni rasmi zimeisha hii leo navyo vituo tayari vimeandaliwa kilichobaki ni kupiga kura kumchagua diwani hapo kesho tarehe 01/04/2012.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.