Eh bana kumbe leo ni bazdey ya mshikaji.... So kwa mwendo wa sapulaizz akatukusanya Tivoli pale juu kwa miito ya mialiko mara kabaaa!!! Rajabu akasaidizana na wake mtarajiwa kukata kekizzz.
Mwenye bazdey Rajab akamlisha keki maiwaifu wake.
Sasa ni zamu ya m-bazdeiwa.
Humu ndani kapo zilikuwa mbili tu! so wacha tuzipe mashavu.
The Crew kutoka shoto ni Philbert Kabago, Ezden The Rocker na Phabian Fanuel.
Mc Mziwanda alifanya machejo na matimbwili yake kisha akamalizia kukitumbukiza kipande hiki cha keki kwenye koo la braza..amini usiamini chapati ilizama yote.
Dj John Lyatow (shoto) akibarikisha mvinyo kupitia mikono ya m-bazdeiwa.
Bahati mbaya nilikuwa looo betri lakini ningekuchukulia muvi watu waliogeshwajeeeh mvinyooooo!!!!
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.