ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, February 2, 2012

VILLA PARK RESORT VALENTINE'S EVE ft KIDUMU & BODA BODA BAND/SUPER KAMANYOLA

Shijani Mtunga meneja Villa Park.
Kusherehekea siku ya wapendanao duniani trh 14feb2012 Club Villa Park imeamua kumleta msanii Kidumu kutoka nchini Burundi kama zawadi kwa wateja wake atakaye burudisha sambamba na bendi ya Super Kamanyola.

Thomas Gikiro Meneja PSI Mwanza.
Uhusiano wetu na tukio hili ni kuhakikisha wapendanao wanatimiza jukumu la kuhakikisha usalama wao kwa kutumia ipasavyo salama kondom kuepuka maambukizi ya virusi vya ukimwi, magonjwa ya zinaa na mimba zisizotarajiwa kwa wale ambao tafsiri yao ya siku hii huitafsiri vibaya.

Abdalah Kijangwa
Zawadi ni kama kawa Tiketi ya ndege kwa wawili wapendanao kwenda na kurudi Mwanza-Dar kupitia Precision Air.

Zawadi nyingine ni Comlimentary ya kuhudhuria matukio muhimu Villa Park na usiku moja uliolipiwa katika hotel ya Gold Crest na mengine kibao... Chini ya Udhamini wa PSI, Tanzania Breweries LTD, Precision Air, Coca Cola NBCL, Gold Crest Hotel na Semira Electronics.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.