ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, October 16, 2011

MPANGO MZIMA WA MA-WIKIENDI ROCK CITY..!!!

Kutoka shoto Kabago, B12, Jack na Dude walipovamia Passion Fm Mwanza. Ni mambo ya wikiendi na suala zima la kujisongesha kwenye minyongo ya bata 'New Stone Club' kunako hapen' mbaya'''**

Kabago, B12, G. Sengo na Dude, Kama ni burudani ndo hizi twala waungwana ambapo kila siku kuna menyu ya udiferenti, mafrendz wakidropu kutoka kona na kona duniani, mavisiwani nini na nini... kama vipi njoo leo Jumapili ndani ya Stone Club kwa mambo ya Sports Bar na supu kwa wAlIoHeNg'OvIkA!

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.