Kutoka shoto Kabago, B12, Jack na Dude walipovamia Passion Fm Mwanza. Ni mambo ya wikiendi na suala zima la kujisongesha kwenye minyongo ya bata 'New Stone Club' kunako hapen' mbaya'''**
Kabago, B12, G. Sengo na Dude, Kama ni burudani ndo hizi twala waungwana ambapo kila siku kuna menyu ya udiferenti, mafrendz wakidropu kutoka kona na kona duniani, mavisiwani nini na nini... kama vipi njoo leo Jumapili ndani ya Stone Club kwa mambo ya Sports Bar na supu kwa wAlIoHeNg'OvIkA!
NBAA YATANGAZA MATOKEO YA MITIHANI YA MEI, 2025
-
Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu
(NBAA) katika kikao chake cha 198 kilichofanyika chini ya Mwenyekiti wake
CPA. Pro...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.