Kiongozi wa Zamani wa Libya, Muammar Gaddafi amekufa katika mateso ya majeraha baada ya kukamatwa karibu na Mji wake wa Sirte Juu imethibishwa na Afisa Mwandamizi wa Kijeshi wa Baraza la Taifa Mpito NTC leo.Taarifa kupitia vyombo vya habari.
Afisa huyo wa Baraza la Taifa Mpito, Abdel Majid Mlegta aliiambia Reuters awali kwamba Gaddafi alikamatwa na kujeruhiwa katika miguu yote kabla ya alfajiri leo wakati akijaribu kukimbia baada ya msafara wake kushambuliwa na ndege za kivita za NATO. 'Pia alipigwa risasi kichwani ,`alisema kiongozi huyo. Majeshi ya upinzani nchini humo yakishangilia kifo cha Gaddafi.
ULEGA AAGIZA UCHUNGUZI WATENDAJI BRT4
-
• Ataka ripoti ya wasimamizi na washauri wote
• Akerwa na uzembe wao unaosababisha misongamano
• Aeleza jinsi Rais Samia anavyoumia kwa foleni mijini
Na Mwa...
Piga Mkwanja Mrefu Ijumaa ya Leo
-
IJUMAA ya leo ni ya moto sana ndani ya Meridianbet kwani mechi za kibabe za
kukupatia mzigo wa maana zipo. Kuanzia pale EPL na kwaingineko ni moto juu ...
Kayataka mwenyewe kama si ujinga ni nini?
ReplyDelete