Ni sendoff ya Bi.Neema iliyofanyika siku ya jumatano jijini Dar es salaam katika ukumbi wa New Sinza delux.
Bi.Neema akiwa na mtarajiwa wake Bw. Humphrey Simon.
Waalikwa wakikwaitika.
Hapa jeh!
Meza maalum.
Ngoma zetu shughulini...
Bwana Harusi mtarajiwa kulia akiwa na mpambe wake 'menyuni'.
Kamati ya Sendoff na binti yao.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment