Salha Israel akiwapungia mkono mashabiki wa urembo duniani kote ishara ya kuwashukuru kuchaguliwa kuwa mrembo wa Taifa.Salha ataiwakilisha nchi yetu katika mashindano ya dunia.zawadi ya salha hii hapa chini(jeep).
Mikogo ndani ya Vazi la Ubunifu.
Safu ya wanyange one.
Safu ya wanyange two.
Warembo waliofanikiwa kuingia hatua ya 5 bora ya Vodacom Miss Tanzania 2011 wakiwa katika picha ya pamoja. Kutoka kushoto ni Miss Sports Woman Loveness Flavian, Miss Photogenic Tracy Mabula, Jenifa Kakolaki, Miss Personality, Alexia Willium na Salha Izrael.
Alhamis ya Kitajiri na Meridianbet Imefika
-
NI siku nyingine kabisa ya Alhamisi ambapo leo hii tutaenda kushuhudia Nusu
Fainali za pili za Europa League na Conference huku Meridianbet wakiweka
o...
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.