Ile Club maarufu jijini Mwanza, Stone.....baada ya kufungwa miezi kadhaa ambapo ngoma zikivurumishwa katika mjengo wa Mwanza Hotel, Sasa club hiyo mara vuuup!... kisha Bwaaa!!! Ndani ya Eneo Jingine Jipyaaaaa!! Tivol Opoziti na Nyamagana Stadium.
Ijumaa hii ndo mpango mzima.
Ukisha kata tiketi yako basi unakibali cha kula good time.
Diogo Jota na André Silva wazikwa
-
Jota alikuwa njiani kurejea Liverpool kwa ajili ya mazoezi ya kabla ya
msimu mpya, akisafiri kwa gari na feri kwa sababu alikuwa amefanyiwa
upasuaji mdogo ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.