Moto wateketeza soko hilo lililopo Forest ya zamani karibu na Chuo cha Mzumbe na Chuo Kikuu huria Jijini Mbeya
Moto ulianza majira ya saa 9:00 kamili usiku na Zimamoto walifika saa 9:10 na kufanikiwa kudhibiti moto huo ambao umeteketeza vibada kadhaa na kusababisha hasara kubwa.
Mtandao huu umefanikiwa kukuta baadhi ya masalia ya vibanda yakifuka moshi.
Mkuu wa wilaya Bwana Evans Balama asaidia kuzima Moto huo, lakini wadau wanajiuliza kunani katika masoko ya Mbeya na kwanini tahadhari hazichukuliwi
Zaidi ya Migodi 13,000 Yakaguliwa
-
• Wakaguzi wa Migodi Wajengewa Uwezo
• Makusanyo Sekta ya Madini Yavuka Lengo
Mwanza
JUMLA ya migodi 13,279 pamoja na bohari za baruti 164 zimekaguli...
Diwani awawashia moto wanaomtukana Rais Samia
-
Na Woinde Shizza ,moshi
Diwani wa kata ya boma mbuzi Halmashauri ya Wilaya ya Moshi, Juma Rahibu,
amewajia juu baadhi ya Watanzania wanaomkashifu na kum...
RC CHALAMILA ATAKA MACHINGA KARIAKOO KUFUNGUA NJIA
-
*Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ametoa muda wa wiki
mbili kwa uongozi wa wafanyabiashara wadogo maarufu kama machinga eneo la
kariako...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.