Jamaa sijui anaitwa nani vile aliniambia......? anaishi kwa kupiga mapozi yaliyo na manjonjo kedekede, anasakata muziki kinomanoma.
Ni uchumi tu ndiyo unafungua vichwa vya watu wakazama kwenye maubunifu, si hasara some times kujivika uchizi usipochunga utakula mawe.
Anapatikana katika viunga vya jiji la Arusha.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment