Kiongozi wa bendi ya muziki wa dansi ya FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma' Nyoshi El Sadat (wa pili kushoto) akiwaongoza wasanii wenzake katika kulishambulia jukwaa katika onyesho la 'Hamia Airtel Ngwasuma' lililofanyika mjini Songea na kudhaminiwa na Airtel mwishoni mwa wiki.
Msanii wa bendi ya muziki wa dansi ya FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma' Pablo Masai akikonga nyoyo za wakazi wa mji wa Songea katika onyesho la 'Hamia Airtel Ngwasuma' lililofanyika mjini Songea na kudhaminiwa na Airtel mwishoni mwa wiki.
Wanenguaji wa bendi ya muziki wa dansi ya FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma' wakifanya vitu vyao katika onyesho la 'Hamia Airtel Ngwasuma' lililofanyika mjini Songea na kudhaminiwa na Airtel mwishoni mwa wiki.
Baadhi ya wapenzi wa muziki mjini Songea wakiselebuka katika onyesho la 'Hamia Airtel Ngwasuma' lililofanyika mjini Songea na kudhaminiwa na Airtel mwishoni mwa wiki.
GEORGE MASAJU ATEULIWA JAJI MKUU
-
*Na Happiness Katabazi.*
*RAIS Samia Suluhu Hassan Leo amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani George
Mcheche Masaju Kuwa Jaji Mkuu wa Tanzania.*
*Kwa Mujibu ...
TAZAMA USIKU WA BI FELISIA KYAMANI ULIVYO FANA
-
Wanafamilia na Waalikwa wakicheza kwaifuraha na shangwe kwenye siku hii
muhimu ya SendOff ya Bi Felias Kyamani .
Watu walivaa na kupendeza Ukumbi ulipambw...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.