Maharusi katika picha ya pamoja na Mh. Rais Kikwete na mama Salma.
Bwana harusi Yusuph kikwete akifungishwa ndoa na Sheikh.
Eee Swahibaaaa upoooo!!! Rais JK akisalimiana na Mh. Mudhihir Mudhihir walipokutana katika sherehe hizo.
Mama Salma na wamama wa viongozi wengine shereheni.
Sheik akitoa mawaidha.
Rais Jakaya Kikwete na Makamu wake Dkt. Mohamed Gharib Bilal wakiongozana ktk uwanja wa ikulu ndogo bagamoyo wakati walipofika kuhudhuria sherehe ya ndoa ya mdogo wake rais Kikwete yusuph kikwete iliyofanyika katika uwanja huo na kuhudhuriwa na wageni mbalimbali na viongozi.
NEMC YAFUTURISHA SERENA
-
-Mwanasheria Mkuu wa Serikali -Mgeni rasmi
-Aahidi Ushirikiano wa Kisheria katika Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira
Nchini*
Baraza la Taifa la Hifadhi n...
NEMC YAFUTURISHA SERENA
-
-Mwanasheria Mkuu wa Serikali -Mgeni rasmi
-Aahidi Ushirikiano wa Kisheria katika Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira
Nchini*
Baraza la Taifa la Hifadhi n...
0 comments:
Post a Comment