Maharusi katika picha ya pamoja na Mh. Rais Kikwete na mama Salma.
Bwana harusi Yusuph kikwete akifungishwa ndoa na Sheikh.
Eee Swahibaaaa upoooo!!! Rais JK akisalimiana na Mh. Mudhihir Mudhihir walipokutana katika sherehe hizo.
Mama Salma na wamama wa viongozi wengine shereheni.
Sheik akitoa mawaidha.
Rais Jakaya Kikwete na Makamu wake Dkt. Mohamed Gharib Bilal wakiongozana ktk uwanja wa ikulu ndogo bagamoyo wakati walipofika kuhudhuria sherehe ya ndoa ya mdogo wake rais Kikwete yusuph kikwete iliyofanyika katika uwanja huo na kuhudhuriwa na wageni mbalimbali na viongozi.
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.