Maharusi katika picha ya pamoja na Mh. Rais Kikwete na mama Salma.
Bwana harusi Yusuph kikwete akifungishwa ndoa na Sheikh.
Eee Swahibaaaa upoooo!!! Rais JK akisalimiana na Mh. Mudhihir Mudhihir walipokutana katika sherehe hizo.
Mama Salma na wamama wa viongozi wengine shereheni.
Sheik akitoa mawaidha.
Rais Jakaya Kikwete na Makamu wake Dkt. Mohamed Gharib Bilal wakiongozana ktk uwanja wa ikulu ndogo bagamoyo wakati walipofika kuhudhuria sherehe ya ndoa ya mdogo wake rais Kikwete yusuph kikwete iliyofanyika katika uwanja huo na kuhudhuriwa na wageni mbalimbali na viongozi.
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
Rais Museveni atangazwa mshindi wa uchaguzi Uganda
-
Tume ya uchaguzi nchini Uganda imemtangaza Rais Yoweri Kaguta Museveni kama
mshindi wa uchaguzi uliofanyika Alhamisi wiki hii, akiwa na jumla ya kura
7,946...
0 comments:
Post a Comment