ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, July 24, 2011

SHINYANGA YATAMBA MISS LAKE ZONE 2011

Vodacom Miss Lake zone 2011 Tracy Sospeter Mabula(Shy), akiwa na washindi wenzake, kushoto kwake ni Irene Karugaba mshindi wa Pili(MZA), Kulia Kwake ni Glory Samwel mshindi wa Tatu(Shy). Washiriki hawa watatu watawakilisha kanda ya ziwa katika mashindano ya Urembo ya Taifa Jijini Dar es Salaam.

Ili kuepuka uchakachuaji na upangaji wa matokeo, now dayz Kamati ya Miss Tanzania imeanzisha utaratibu mpya kwa mashindano ngazi ya kanda WANASEMA: Ngazi hii Majaji ni wadau toka kamati ya Miss Tanzania tu!!

Warembo walio ingia kumi bora miss lake zone.
Burudani sasaaa..Kinara wa Obsession.

Wanadada wa kundi la Obsession wakipiga show.

Dance la miss lake zone.

Dance two'

Burudani ya Hip-hop iliwakilishwa vyema na mkali toka Rock City Philbert Kabago(shoto) hapa akipewa tafu na produza wa MO REC

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.