Afisa Uhusiano wa Kampuni ya Tigo Jackson Mmbando (kulia) wakati wa kuchezesha droo ya kwanza ya kumpata mshindi wa promosheni ya Endesha Pikipiki na Tigo jana jijini Dar es Salaam. Wengine ni Catherine Kasimbazi wa Solid Ltd, Pamela Shelukindo kutoka Tigo na Humudi Abdulhussein kutoka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha.
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
Rais Museveni atangazwa mshindi wa uchaguzi Uganda
-
Tume ya uchaguzi nchini Uganda imemtangaza Rais Yoweri Kaguta Museveni kama
mshindi wa uchaguzi uliofanyika Alhamisi wiki hii, akiwa na jumla ya kura
7,946...
0 comments:
Post a Comment