Kama unavyoona ni jengo lenye historia lililomilikishwa kwa halmashauri ya jiji la Mwanza, hivyo ndiyo wanao lisimamia, lakini kama ilivyoada kwa sisi watanzania - pamoja na jengo hili kuzalisha kupitia ukumbi wake kodishwa kwa wastani wa siku 3 kwa wiki, Jengo hili Kama limesahaulika vileeeee!!!...
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.