Timu hiyo imepata ushindi huo mara baada ya kuingia fainali na hatimaye kuishinda timu ya mashabiki wa Chelsea ambao nao wametoka na zawadi kama washindi wa pili ya shilingi laki tano.
RABSHA NAZO SEHEMU YA MICHEZO. 'Siunajuwa hawa ni mashabiki wa timu gani na gani?' Katika hatua ya nusu fainali Chelsea waliwaondosha Manchester United nao Real wakawagagadua Ac milan.Mashindano hayo yataendelea tena katika mikoa mbalimbali hapa nchini yakishirikisha mashabiki wa mikoa husika kwa timu tajwa katika mashindano ambazo ni Man United, Liverpool, Chelsea, Real madrid, Bacelona, Inter Milan, Ac Milan na Alsenal.
MASHABIKI MWANZA PASHENI MISULI...INSHU YAJA..
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment