Tupe maoni yako
Daftari la wapiga kura kuanza kuboreshwa Julai mwaka huu
-
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji (Rufaa) Jacobs
Mwambegele akizungumza na waandishi wa habari Mjini Unguja, Zanzibar, leo
tarehe 15 Mei, ...
1 hour ago
Hakuna mtu aliyeharibikiwa kimwili na kiroho kama huyu mwizi aitwaye Augustine Mrema. Hivi wakati huu anaweza kumhadaa na kumpata nani? Bahati mbaya sana kwa Mrema bado anafikiri huu ni wakati wa ruksa alipokuwa waziri. CCM wamezidi kumdhalilisha huyu bingwa wa kujikomba. Wanazidi kumtumia wakati afya yake ni ugogoro mtupu. Nenda Lyatonga. Nenda ukale ugali na Idd Amin
ReplyDelete