Mashindano ya KAMANDA SIRO CUP yanatarajiwa kufanyika kesho tarehe 16.04.2011 siku ya jumamosi katika uwanja wa CCM Kirumba kuanzia saa 4:00 asubuhi na kuendelea. Kablea ya Bonanza kutakuwa na maandamano ya washiriki kuanzia saa 3:00 asubuhi yatakayoanzia ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Mwanza kupitia barabara ya Makongoro hadi CCM Kirumba, maandamano yakiongozwa na Brass band, Waendesha pikipiki, Magari na Watembea kwa miguu.
Kamanda Sirro amewaomba wananchi wa jiji la Mwanza na wageni kujitokeza kwa wingi kushiriki kwenye maandamano hayo wakiwa na nguo za michezo (Track suits)
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.