ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, April 18, 2011

HAPA NA PALE....


Majuzi nikiwa pale Geita mida ya misosiz majira ya mchana ilipowadia nikaulizia sehemu pa chakula safi nao waungwana wakani elekeza hapa panapoitwa Maisha Plus, sasa baada ya kurekebisha nakushushia nikatoka mahala hapa nikijiuliza je! kijiwe hiki kina uhusiano wowote na Massoud Kipanya?

IAskwambie mtu' Ilani nyingine hazitekelezwi kutokana na jinsi zenyewe zilivyoandikwa 'kiuchafu-uchafu' kama choo hiki! laiti kama maneno haya yangeandikwa kwa maandishi mazuri ya thamani ninauhakika hata mtumiaji angeheshimu matumizi paswa ya choo tajwa.

Wenye lugha zao, 'ACHIA JIWE LIWAFUMUE'.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.